YANGA YAKUBWA NA JANGA LINGINE...

Uongozi wa klabu ya Young Africans unasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Dereva wa Bus Kubwa la Wachezaji (Yutong) Bw Maulid Kiula kilichotokea alfajiri ya leo Ilala jijini Dar es salaam.

Taratibu za mazishi zinaendelea nyumbani kwa marehemu mtaa wa Chunya karibu na Bungoni Ilala jijini Dar es salaam.

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi Amen.


                         hili ndilo bus alilokuwa akiendesha marehemu
YANGA YAKUBWA NA JANGA LINGINE... YANGA YAKUBWA NA JANGA LINGINE... Reviewed by habari motto on 2:47 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.