Ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel 2014

Ni jambo la kujivunia kwa huyu msichana mdogo Malala Yousafzai. Binti wa Pakistan aliyepigwa risasi na waasi wa Taliban Mwaka 2012 kwa kutetea haki za wanawake ili kupata elimu katika nchi yake, Ametangazwa  kama mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel 2014 ...lakini yeye anashirikiana  pamoja na mtu mwingine, Kailash Satyarthi, mwanaharakati wa haki za watoto nchini INDIA. Yeye amekuwa na  kazi katika harakati dhidi ya ajira kwa watoto nchini India. Wamepata dolla za kimarekani Million $ 1.1. Hakika wanastahili 
Ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel 2014 Ashinda Tuzo ya Amani ya Nobel 2014 Reviewed by habari motto on 12:53 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.