
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi na kumpongeza Luteni Usu Edwin Engelbert Kessy wakati wa hafla ya kutunuku kamisheni maafisa wa jeshi baada kuibuka mwanafunzi bora wakati wa mafunzo ya maafisa wa jeshi yaliyofanyika katika chuo cha jeshi Monduli mjini Arusha

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Waziri Mkuu wa Mstaafu, Edward Lowassa walipohudhuria sherehe za kutunukiwa kamisheni maofisa wapya wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kwa cheo cha Luteni Usu, iliyofanyika katika chuo cha jeshi hilo Monduli, mkoani Arusha

Rais Kikwete, akimpongeza afisa huyu wa jeshi

Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Rais Jakaya Kikwete, na vingozi wengine wa juu wa serikali na jeshi la wananchi JWTZ, wakiwa katika ;picha ya pamoja na wahitimu

Lowasa, akiteta na maafisa wa jeshi, Kushoto ni mkuu wa majeshi, Jenerali Devis Mwamunyange

Lowasa akiteta jambo na waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifam Dkt. Hussein Mwinyi

Maafisa wa jeshi wakiwa kwenye gwaride

Lowasa akiteta jambo na mkuu wa majeshi, Jernerali Davis Mwamunyange

Maafisa wa hitimu wa mafunzo ya kijeshi, wakiwa kwenye gwaride la kuhitimu

Wimbo wa taifa

Mkuu wa majeshi Jenerali Davis Mwamunyange, akiteta jambo na wazirti mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowasa, (Kushoto) na mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Tibenda
Raisi Kikwete Atunuku Kamisheni Maafisa Wa Jeshi Monduli
Reviewed by habari motto
on
4:08 PM
Rating:
