baadhi ya mashabiki wachache ambao walikuwa wakimshabulia kwa –comments kuwa picha hizi
alizoziweka mtandaoni akiwa ufukweni, hazina maadili kwasababu amevaa nguo ambazo
zinaonyesha sehemu kubwa ya mwili wake.
Baada ya mjadala wa picha zake kupamba moto huku wengine wakiona zipo sawa na wachache
Baada ya mjadala wa picha zake kupamba moto huku wengine wakiona zipo sawa na wachache
wakisema kuwa hazina maadili, Kajala aliingilia kati na kufafanua kuwa picha hizo alipiga wakati
akiwa ufukweni nasio yupo mitaani anaembea.
“Niko beach jamani siko posta natembea maana mna maneno ya chini chini humu”
“Niko beach jamani siko posta natembea maana mna maneno ya chini chini humu”
Kajala alisistiza.
Picha hizi alizitupia juzi, siku ya sikukuu ya mwaka mpya. Jionee picha hizo hapo juu
kiwasha tuambie umeziona vipiii
Kajala Awachana Waliokosoa Picha Zake, Eti Hazina Maadili
Reviewed by habari motto
on
11:54 AM
Rating: