Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza Kuhusu Panya Road



Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza kupitia TBC 1.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza kupitia TBC 1.
Kumekuwa na story jioni ya leo Dar kuhusu kikundi cha watu cha ‘Panya Road’ kuvamia maeneo mbalimbali, kupora vitu na kupiga watu.
Kamanda wa Polisi Suleiman Kova amezungumza kupitia kituo cha TBC1, amesema kuwa wananchi wanapaswa kuwa na amani kwa kuwa kikundi hicho kina wahalifu wachache, tayari kuwa wawili ambao wamekamatwa na oparesheni inaendelea ili kuwadhibiti.


Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza Kuhusu Panya Road Kamanda wa Polisi Suleiman Kova akizungumza Kuhusu Panya Road Reviewed by habari motto on 12:58 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.