Mtwara Kuvamiwa NaWakali Wa Jukwaa (VALENTINE DAY)

Itakuwa siku ya wapendanao (Valentine day) 14 February 2015 ambapo baadhi ya mastaa wa muziki na muvi wata uwasha moto mkoani Mtwara. Mastaa hao ni wataalamu wa stage kwenye Tasnia ya muziki wa kizazi kipya hapa Tz, na miongoni mwao ni kama Weusi, Shaa, Richi Mavoko, bila kusahau mwigizaji Wolper ambaye akisimama jukwaani huleta tabasamu kwa kila mmoja na ndiye atakaye kuwa MCScreen Shot 2015-02-07 at 1.32.57 PM
Ngoma Mpya Kamata Happa

Mtwara Kuvamiwa NaWakali Wa Jukwaa (VALENTINE DAY) Mtwara Kuvamiwa NaWakali Wa Jukwaa (VALENTINE DAY) Reviewed by habari motto on 4:14 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.