Ni mwaka mmoja tangu serikali ya Uingereza kupiga marufuku uuzaji na utumiaji wa miraa ama Mirungi nchini humo. Hatua ambayo ilipokelewa kwa hisia tofauti miongoni mwa wadau wa zao hilo nchini Kenya.
Marufuku ya biashara ya miraa,Kenya
Reviewed by habari motto
on
7:52 AM
Rating: