Hatimaye mzee Samwel Sitta atangaza kustaafu rasmi siasa, hajasema kama atarudi kijijini kulima kama ilivyo kwa wanasisa wengi ambao Mara nyingi wanapostaafu hutangaza kurudi kijijini na kuwa wakulima, lakini pia kilimo kwanza ilikuwa ndiyo Sera ya chama chake katika Serikali ya awamu iliyopita.
Source: Magazeti ya leo
Source: Magazeti ya leo
Hatimaye Samwel Sitta Akubali Yaishe Aamua Kustaafu Rasmi Siasa
Reviewed by habari motto
on
8:12 AM
Rating:
