Sentensi 3 za Rais MAGUFULI baada ya kukamilisha kwa shughuli ya usafi Dar

Ikiwa leo Tanzania imeingia katika headlines za usafi Dec 9 badala ya kusheherekea sikukuu ya Uhuru, sasa Rais John Pombe Magufuli kaandika hizi sentensi kupitia ukurasa wake wa twitter.
Watanzania wenzangu ninawapongeza kujumuika nami kwa kuadhimisha siku ya Uhuru na Jamhuri.Nimefurahi na nimeguswa sana mlivyojitokeza.1/2′>>>Dk.John Pombe Magufuli
vlcsnap-2015-12-09-11h30m03s022
Tumeshiriki kwa wingi wetu siku hii muhimu kwa kufanya kazi katika maeneo mbalimbali. Uhuru na Kazi, Hapa Kazi Tu. Mungu Ibariki Tanzania.2/2′>>>Dk.John Pombe Magufuli



 
Sentensi 3 za Rais MAGUFULI baada ya kukamilisha kwa shughuli ya usafi Dar Sentensi 3 za Rais MAGUFULI baada ya kukamilisha kwa shughuli ya usafi Dar Reviewed by habari motto on 5:42 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.