Rais Wa Ureno Alivyokaribisha Timu Yake Ya Taifa


Maelfu ya mashabiki wa timu hiyo walikusanyika katika uwanja wa ndege mbele ya kasri ya Rais,na katika mitaa ya mji mkuu Lisbon kusheherekea ushindi huo wa kwanza kwa nchi hiyo.
Cristiano Ronaldo holds aloft the European Championship title after his Portugal team landed back in the capital Lisbon on Monday
After landing back home, Portugal's players quickly boarded an open top bus from the airport to the city centre to carry on the partyNahodha wa timu hiyo Cristiano Ronaldo alilipeleka kombe hilo kwenye kasri ya Rais kabla ya kuanza kulitembeza katika mitaa ya jiji la Lisbon wakiwa katika gari la wazi.
Wametajwa kama mashujaa wa nchi hiyo.
Mjini Paris Francois Hollande alikutana na timu ya Ufaransa iliyoshika nafasi ya pili kwenye kasri yake ya Elysee.Ronaldo (left) and Nani (second left) led the way as he and the rest of his team were applauded by huge numbers of fanatical Portugal fans
Rais Wa Ureno Alivyokaribisha Timu Yake Ya Taifa Rais Wa Ureno Alivyokaribisha Timu Yake Ya Taifa Reviewed by habari motto on 6:51 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.