Msimamo wa Diamond Na WCB


Diamond amedai kuna wasanii wengi wa kimataifa Afrika na nje ya Afrika wametaka kujiunga na WCB lakini amewakatalia kwa kuwa anatka kukuza wa nyumbani kwanza
Pia amesema sasa hivi hawachukui wasanii wengine wachanga mpaka Ray vanny na harmonize wakue vizuri
Msikilize Hapa:

























































Msimamo wa Diamond Na WCB Msimamo wa Diamond Na WCB Reviewed by habari motto on 1:51 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.