Tunaomba kwa anaye Mfahamu Mtoto huyu atoe Taarifa Kituo cha Polisi au Hospitali ya Rufaa Mbeya ambapo Wasamalia wema wamempeleka. Hajatambuliwa bado
Mwili wa marehemu mtoto huyo ukiwa kando muda mchache baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Double Cabin ambayo ilikimbia baada ya kufanya tukio hilo
Baadhi ya wasamalia wema wakiwa wamefika eneo la tukio kwa ajili ya kutoa msaada kwa mtoto huyo ambaye alifariki papo hapo baada ya kugongwa
Baadhi ya wasamalia wema wakichukua mwili wa Marehemu mtoto huyo kwa ajili ya kuupeleka hospitali
Mashuhuda
Tukio hili limetokea mida ya saa Tano asubuhi leo ambapo chanzo cha ajali hiyo ni Mwendo kasi wa Gari hilo ambapo halikuchukua tahadhari na kusababisha kugongwa kwa Mtoto huyo pia hajafahamika mpaka sasa.
Picha na Mbeya Yetu DONATE CAR FOR TAX CREDIT
AJALI MBAYA YATOKEA, MTOTO AGONGWA NA GARI NA KUFARIKI HAPO HAPO
Reviewed by habari motto
on
12:43 PM
Rating: