Binti akivamia jukwaa baada ya kupiga urabu wa kutosha.
Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita katika ukumbi wa Railway Club ambako paparazi wetu alimshuhudia binti huyo aliyefahamika kwa jina moja la Fatma, akianza kubadilika taratibu kadiri alivyokuwa akipata kiburudisho chake kilichokuwa katika vipakti vya plastiki.
Licha ya kuwakumbatia, pia msichana huyo alivuruga shoo hiyo baada ya kukanyaga nyaya zinazounganisha vyombo vya muziki vya bendi hiyo na kusababisha umeme kuzimika jukwaani, hivyo kusababisha onyesho kusimama kabla ya mafundi mitambo kurekebisha hitilafu.
AMWAGA RAZZI ONYESHO LA SIKINDE
Reviewed by habari motto
on
8:57 AM
Rating: