Unaweza ukawa unajiuliza maswali mengi sana juu ya uwezo wa mkali wa Bongo Fleva Diamond Platnumz kutumia na kuimudu lugha ambayo ni shida sana miongoni mwa watanzania wengi, sio lugha nyingine bali ni Kizungu(English). Mshuhudie mkali huyu katika interview ya Coke huko Kenya.
HII NDIYO INTERVIEW YA DIAMOND ILIWASHANGAZA WENGII
Reviewed by habari motto
on
10:28 AM
Rating: