Kipaji ni Kipaji Tu , Uwezi Amini ila ndo Hivyo Mzee Mzima Diamond Platnumz Kumbe na Upande wa Kurap Ama Kuchana yupo Vizuri Sana, Kina Nay Wasipoangalia Wataondolewa Kwenye Game.....Sikiliza Wimbo Ambao Diamond Amechana/Rap Verse ya Kwanza na ya Pili Kamalizia Mzee Mzima Godzilla, Wimbo Umefanywa na Producer Zachaa wa Mj Records.
Wimbo Huu Hapa:
KUWA WA KWANZA KUISIKIA NYIMBO YA DIAMOND AKIRAP NA GODZILLA.
Reviewed by habari motto
on
8:30 PM
Rating: