Ahmed Godane, kiongozi wa kundi la magaidi wa Alshabab ameuwawa na jeshi la Marekani, kifo chake kilitokea Jumatatu wiki.
Wanajeshi wa Marekani wamemfanyia shambulizi Godane na kusababisha
Jumatatu wiki hii, Jeshi la Marekani lilifanya shambulizi lililomlenga godane, ambaye alikura kiapo cha utii kwa Al qaeda.alikuwa akiongoza Al Shabaab na kufanya ugaidi mashariki mwqa afrika kwa kuwauwa viongozi wa serikali ya Somali, wafanyakazi wa mashirika ya misaada na kufanya milipuko ya mabomu ya mhanga. Pia inadaiwa alihusika na shambulizi la mwaka 2013 katika mall ya westgate mjini Nirobi Kenya ambapo watu karibu 80 waliuwawa.
Kifo chake kitaleta pengo kubwa kwa magaidi hao ambao wanahodhi eneo kubwa la pwani ya Somalia, alikuwa na miaka 37.
MAGAIDI WA AL- SHABAB YAPATA PIGO ZITTO
Reviewed by habari motto
on
10:28 PM
Rating: