Mrembo aponea chupuchupu kubakwa

Mrembo ( jina halikufahamika mara moja) akiwa hoi baada ya kufakamia pombe kwa wingi.
Msichana mrembo ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, hivi karibuni aliponea chupuchupu kubakwa baada ya kuzidiwa na kilevi na kuangukia mikononi mwa wanaume wakware.
Tukio hilo lilijiri mjini Iringa kwenye Uwanja wa Samora kulikokuwa na Tamasha la Fiesta ambapo awali msichana huyo alionekana akicheza kihasara kwa kujigalagaza chini na mzuka ulipomuishia, alijikokota hadi pembeni akiwa hana nguvu, kitendo kilichowafanya wanaume wasio wastaarabu kumzingira.



Walinzi wakimsaidia mrembo aliyenusurika kubakwa.
Hata hivyo, walinzi waliokuwa eneo hilo walitumia nguvu ya ziada kumuokoa mrembo huyo kutoka kwa midume hiyo iliyokuwa imepania kumkomesha.
Mrembo aponea chupuchupu kubakwa Mrembo aponea chupuchupu kubakwa Reviewed by habari motto on 8:54 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.