Msanii mwingine aaga dunia


Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa msanii chipukizi kwenye muziki wa Bongo fleva Side Boy Amefariki dunia.
Akizungumza na mwandishi mdogo wa marehemu Ally khamisi amesema yakua kaka yao marehemu Said Salum Hemed amefia Mkoani Lindi katika hospitali ya Nyangao, alikuwa anasumbuliwa na TB YA MIFUPA.
Marehemu aliimba nyimbo ya Hujafa Hujaumbika ambayo alimshirikisha BestNaso.
Msanii mwingine aaga dunia Msanii mwingine aaga dunia Reviewed by habari motto on 4:06 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.