NDOA YA AMBER ROSE NA WIZ KHALIFA YAFIKIA KIKOMO

model Amber Rose ameomba talaka kutoka kwa mume wake ambaye wameishi pamoja kwa muda wa mwaka moja. Amber anasema yeye na mumewe wametengana kuanzia Jumatatu na anataka haki zote za malezi za mtoto wao Sebastian mwenye umri wa mwaka mmoja
Tofauti na ndoa za wasanii wengine zikivunjika hugawana pesa na mali, Amber alisainishwa makubaliano ya kutochukua mgao wa pesa au mali kutoka kwa mumewake endapo watatengana.
NDOA YA AMBER ROSE NA WIZ KHALIFA YAFIKIA KIKOMO NDOA YA AMBER ROSE NA WIZ KHALIFA YAFIKIA KIKOMO Reviewed by habari motto on 8:28 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.