Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro, viongozi wa Shirika
la Nyumba la Taifa Tanzania (NHC), Viongozi wengine wa Serikali na Walimu wa
Shule ya Msingi ya Hasanga wakifurahia Baada ya Kuzindua Rasmi ukarabati wa ujenzi
huo.
Meza kuu
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro akizungumza na
wananchi, wanafunzi na Walimu wa Shule ya Msingi ya Hasanga katika Sherehe yA kukabidhi Majengo ya Shule hiyo.
(NHC) YAKARABATI SHULE
Reviewed by habari motto
on
8:11 AM
Rating: