Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao katika kambi yao.
SHUHUDIA JINSI WAREMBO MISS TANZANIA WAKIJIFUA GYM KUIWEKA MIILI YAO SAFI
Reviewed by habari motto
on
3:09 PM
Rating: