Kivuko cha Mv Kigamboni kinavyoonekana kwa ndani, kinatarajiwa
kuanza kutumika siku ya alhamisi baada ya matengenezo yalifanywa na Jeshi la Wanamaji kwa mda wa wiki tatu tangu kilipoaacha
kufanya kazi Agosti 14 mwaka huu.
Waziri wa Ujenzi Dkt.
John Magufuli akiongea na wajumbe
mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa
kivuko cha kigamboni leo jijini Dar
es Salaam kinachofanyiwa
matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo
ya kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.
Mtendaji Mkuu Temesa Injinia Marceline Magesa akitoa neno la shukrani kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo
ya Mv Kigamboni leo jijini Dar es Salaam
ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki hii.
Waziri
wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ( kushoto)
na Katibu Mkuu wa Ujenzi Injinia Mussa
Iyombe(kulia) wakisikiliza kwa makini maelekezo yaliyokuwa yakitolewa katika
ufunguzi wa kivuko cha Mv Kigamboni leo jijini Dar es Salaam kinachofanyiwa
matenganezo na Jeshi la Wanamaji maeneo
ya kurasini na kinatarajiwa kuanza
kutumika wiki hii.
Waziri
wa Ujenzi Dkt.
John Magufuli ( katikati mwenye suti nyeusi) akielekea katika eneo
ambalo kivuko cha MV Kigamboni kilipo kwa ajili ya ukaguzi wa kazi
iliyofanywa na wahandisi wa Jeshi la Wanamaji leo jijini Dar es Salaam.
Waziri
wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ( katikati)
akipata maelekezo kutoka kwa Msimamizi
wa matengenezo Luten Kanali Abel
Gwanafyo (Kulia), kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Maji Brigadia Jenerali
Rostian Laswai wakati wa ufunguzi wa kivuko hicho leo jijini Dar es Salaam
,amabapo kinatarajiwa kuanza kutumika
wiki kurahisisha usafiri kwa watu
wa Kigamboni.
Waziri
wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ( katikati)
akipata maelekezo kutoka kwa Msimamizi
wa matengenezo Luten Kanali Abel
Gwanafyo (Kulia), kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Maji Brigadia Jenerali
Rostian Laswai wakati wa ufunguzi wa kivuko hicho leo jijini Dar es Salaam
,amabapo kinatarajiwa kuanza kutumika
wiki kurahisisha usafiri kwa watu
wa Kigamboni.
Kivuko
cha Mv Kigamboni kinavyoonekana upande
wa mbele na ubavuni , kikiwa katika hatua za mwisho tayari kwa kuanza kutumiwa na wananchi siku ya alhamisi baada
ya matengenezo yaliofanywa na Jeshi la Wanamaji
kwa mda wa wiki tatu tangu kilipoaacha kufanya kazi Agosti 14 mwaka huu. Picha na Lorietha Laurenc eMaelezo
UZINDUZI WA KIVUKO CHA KIGAMBONI
Reviewed by habari motto
on
12:41 PM
Rating: