Wale watumiaji wa mtandao wa kupost picha maarufu kama instagram, sasa tatizo lao nimepatiwa ufumbuzi baada ya kuweka update mpya katika app hiyo ya kuweza kuedit caption, mwanzoni watumiaji walikuwa wakishindwa kuedit maandishi yanayoendana na picha baada ya kupost hivyo wakati mwingine kupelekea kuweka makosa na kushidwa kufanya masahihisho ya makosa hayo.

Baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watumiaji hatimaye Instagram wameweka update kwa watumiaji wa iOS na Android, update App yako sasa kupata mabadiliko hayo mapya.
Instagram Yafanya Maboresho
Reviewed by habari motto
on
9:59 AM
Rating:
Reviewed by habari motto
on
9:59 AM
Rating: