Mahakama yatoa hukumu kwa Nahodha wa Meli iliyozama na kuua watu 300.

Mahakama imetoa hukumu kwa Nahodha na jumla ya wenzake kumi na nne kwa kupatikana na hatia ya uzembe uliopelekea meli kuzama na kuua watu 300.
Nahodha Lee Joon-seok amehukumiwa kifungo cha miaka 36 kwa kosa hilo, Park ambaye alikuwa injinia wa meli hiyo amehukumiwa miaka 30, na wenzao kumi na watatu wamehukumiwa miaka 20 kila mmoja kwa kosa la uzembe uliopelekea vifo vya watu hao.
Nahodha
Ajali hiyo ilitokea Aprili 16 mwaka huu Korea Kusini, ambapo meli hiyo Mv Sewol ilipata ajali ikiwa na abiria zaidi ya 470, ambapo kati yao zaidi ya watu 300 walifariki wengi wao wakiwa ni wanafunzi.
Sewol

Mahakama yatoa hukumu kwa Nahodha wa Meli iliyozama na kuua watu 300. Mahakama yatoa hukumu kwa Nahodha wa Meli iliyozama na kuua watu 300. Reviewed by habari motto on 1:11 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.