Mbuge Aanguka Ghafla Bungeni

Mbunge wa Mbeya Vijijini Mh.Mchungaji Luckson Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya baada ya kudondoka ghafla ndani ya Jengo la Ukumbi wa Buge leo mchana.Chanzo cha kuanguka kwake bado hakijafahamika na sasa yupo kwenye uangalizi wa madaktari kwa uchunguzi zaidi.
Mbuge Aanguka Ghafla Bungeni Mbuge Aanguka Ghafla Bungeni Reviewed by habari motto on 1:35 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.