Na Huu Ni Ujumbe Mzito Mshiriki Wa Miss World 2014 Toka Tanzania, Happiness Watimanywa

Mshindi wa Taji la Miss Tanzania 2013 ambaye pia ameshiriki mashindano ya Miss World mwaka 2014, Happiness Watimanywa ameandika ujumbe kupitia Facebook na Twitter.
Katika ujumbe huo ameonyesha kufurahi kuwa mwakilishi wa Tanzania katika Mashindano hayo makubwa ya Dunia na pia amewashukuru Watanzania kwa kumpigia kura na kumpa support kubwa.
Happiness kaandika ujumbe huu kwenye ukurasa wake wa Facebook; “It has been a pleasure being here in #London representing #Tanzania for this year’s#MissWorld‘s #MW2014 pageant. Thank you #Tanzania for supporting me. Please keep voting forTanzania. #Oxforddebate #charitygala #topmodel#MissWorld2014 #MW2014#lessonlearnt #wellappreciated — in London, United Kingdom.“

Na Huu Ni Ujumbe Mzito Mshiriki Wa Miss World 2014 Toka Tanzania, Happiness Watimanywa Na Huu Ni Ujumbe Mzito Mshiriki Wa Miss World 2014 Toka Tanzania, Happiness Watimanywa Reviewed by habari motto on 2:07 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.