H Baba na mke wake ambae ni mwigizaji, Flora Mvungi Good Good NEWS..
YES, nimepita kwenye ukurasa wa H Baba Instagram, amepost picha ikiwaonesha wakiwa na mtoto wao mchanga halafu kaandika hivi>>”
Uyu mimtoto wapili mke wangu anajifungua nashuhudia MWANZO wauchungu mpaka kijifungua kwake #Kiukweli heshima kubwa kwa mama Tanzaniteone ulijitahidi sana nakupa #HongeraKwakweli wewe nishujaa nanimfano wakuigwa Kwakweli kunamuda Nilikuwa nashindwa kavumilia natamani nitoke nje ila NASEMA hapana mpaka nishuhudie #mwisho wake!!!! ASANTE SANA “@h_baba123
H Baba ana mapenzi na Afrika yake..mtoto huyu aliezalliwa tayari kapewa jina la Africa.. wa kwanza anaitwa Tanzanite.
H Baba na Mkewe Flora Mvungi Wapata Mtoto wa Pili,Lijue Jina Lake.....
Reviewed by habari motto
on
2:59 PM
Rating:
Reviewed by habari motto
on
2:59 PM
Rating: