Dk Bashiru Ali ateuliwa Katibu Mkuu mpya wa CCM

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) alipokuwa akizungumza na kumpongeza Dk.Bashiru Ali (kulia) mara baada ya kuteuliwa na kupata ridhaa ya wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC)kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa  ulioendelea leo katika Ukumbi wa   Kiwete Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli(katikati),[Picha na Ikulu.] 29/05/2018.
 Katibu Mpya wa CCM Taifa Dk.Bashiru Ali (kulia) mara baada ya kuteuliwa na kupata ridhaa ya wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa  ulioendelea leo katika Ukumbi wa   Kiwete Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli(hayupo pichani),[Picha na Ikulu.] 29/05/2018.
 Katibu Mpya wa CCM Taifa Dk.Bashiru Ali (kulia) alipokuwa akiwashukuru Wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) mara baada ya kuteuliwa na kupata ridhaa ya   kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa  katika Mkutano ulioendelea leo katika Ukumbi wa   Kiwete Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli(katikati) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Nd,Rodrik Mpogolo [Picha na Ikulu.] 29/05/2018.
 Wajumbe wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) wakinyanyua mikono juu kuashiria kuunga mkono uteuzi wa Katibu Mpya wa CCM Taifa Dk.Bashiru Ali wakati wa Mkutano ulioendelea leo katika Ukumbi wa   Kiwete Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli(hayupo pichani),[Picha na Ikulu.] 29/05/2018.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) alipokuwa akimpongeza Dk.Bashiru Ali (kulia) mara baada ya kuteuliwa na kupata ridhaa ya Wajumbe wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa  ulioendelea leo katika Ukumbi wa   Kiwete Ikulu Jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli(katikati),[Picha na Ikulu.] 29/05/2018.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein(kushoto) alipokuwa akimuonesha kitu  Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli wakati wa Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) kuwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa  ulioendelea leo katika Ukumbi wa   Kiwete Ikulu Jijini Dar es Salaam,[Picha na Ikulu.] 29/05/2018.
Dk Bashiru Ali ateuliwa Katibu Mkuu mpya wa CCM Dk Bashiru Ali ateuliwa Katibu Mkuu mpya wa CCM Reviewed by habari motto on 10:45 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.