DAVID RUDISHA ADONDOKEA MSHINDI WA TATU

http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2014/08/01/140801084015_rudisha_304x171_bbc_nocredit.jpg
Katika michuano ya Diamond League ya jana usiku, Nijel Amos alimzidi kasi ya kuufukuza upepo David Rudisha katika michuano ya mita 800 mjini Zurich
http://a.files.bbci.co.uk/worldservice/live/assets/images/2013/07/22/130722144226__david_lekuta_rudisha__304x171_pa.jpg 
Nijel Amos alimzidi nguvu David Rudisha
Mshindi huyo wa michuano ya Olympic David Rudisha alimaliza mbio zake katika nafasi ya tatu kwenye mbio hizo za mita 800 wakati mwanariadha mchanga na mwenye ubavu wa kutanua mapafu mbioni Nijel Amos kwa mara ingine tena amejitwalia tena ubingwa huo wa mita 800
Na hii si mara ya kwanza kwa Amos kumshinda nguvu Rudisha kwani mwezi uliopita katika michuano ya jumuiya ya madola maarufu kama Commonwealth Games na kujitwalia medali ya dhahabu huku akitumia dakika 43. sekunde 77
Naye Ayanleh Souleiman alimshinda Rudisha na kutwaa nafasi ya pili kitendo kilichomlazimisha Rudisha kushika nafasi ya tatu
DAVID RUDISHA ADONDOKEA MSHINDI WA TATU DAVID RUDISHA ADONDOKEA MSHINDI WA TATU Reviewed by habari motto on 2:43 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.