Tazama Kili Music Tour Ilivyoiteka Dodoma
Mwishoni mwa wiki ilikuwa zamu ya wakazi wa makao makuu ya nchi kuishuhudia ziara ya
wasanii waliofanya vizuri nchini kwa kipindi cha mwaka 2013/2014 maarufu kama Kilimanjaro
Music Tour. Ziara hiyo iliwakutanisha wasanii takribani 10 ambao walitoa burudani kwa maelfu
ya wakazi wa Dodoma waliofurika katika uwanja wa Jamhuri kushuhudia tamasha hilo ambalo
lilikuwa likisubiriwa kwa hamu.
Hizi ni baadhi ya picha za kilichojiri uwanja wa Jamhuri.
Malkia wa mipasho nchini Khadija Kopa aliifungua Kili Music Tour mkoani Dodoma
Izzo Bizness na Joh Makini katika backstage
Mwasiti akiendeleza burudani kwa wakazi wa Dodoma ikiwa ni pamoja na kuimba na mmoja ya mashabiki
Rich Mavoko na madansa wake wakilishambulia jukwaa la Kili Music Tour Dodoma MwanaFA na Anna Peter wakiwa backstage Christian Bella “Rais wa Masauti” akiwaimbisha mashabiki uwanja wa Jamhuri
Shilole akiwadhihirishia mashabiki kwa nini anaitwa mtaalam wa jukwaa
Umati wa mashabiki ukiendelea kufuatilia tamasha Izzo Bizness alikuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kupanda jukwaani uwanja wa Jamhuri Hamis Mwinjuma “MwanaFA” akiendeleza burudani ya Hip Hop katika Kili Music Tour Dodoma.
Wadau wakifurahia kilichokuwa kikiendelea jukwaani Ben Pol akiwaburudisha mashabiki wa mkoa ambao alianzia shughuli za muziki Shangwe kwa Ben Pol Weusi wakiikamilisha Kili Music Tour Dodoma kwa show kali
KAMA ULIMISI FIESTA DODOMA. CHEKI HAPA PICHA NA MATUKIO YOTE
Reviewed by habari motto
on
3:26 PM
Rating: