“Ingawa niliingia kwenye shindano hilo nikijua kuwa ningeshuti nikiwa mtupu, niliambiwa kuwa sehemu zangu za siri zingefichwa kwa kuwekewa blur kwa ajili ya show ya TV…hata washiriki wengine hawakutegemea kuona hivyo.” Alisema Nizewitz.
Kipande cha show hiyo kinachomuonesha mwanamitindo huyo kilirushwa July 31 mwaka huu.
MODEL AYASHITAKI MAKAMPUNI KWA KUONESHA SEHEMU ZAKE ZA SIRI TV SHO!
Reviewed by habari motto
on
12:23 AM
Rating: