Jux amekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii mwenzake Vanessa
Mdee na kudai kuwa Vanessa ni mshikaji wake tu lakini amekiri kuwa muimbaji
huyo wa ‘Come Over’ ana kila sifa ya kuwa mke.
Mdee na kudai kuwa Vanessa ni mshikaji wake tu lakini amekiri kuwa muimbaji
huyo wa ‘Come Over’ ana kila sifa ya kuwa mke.
Jux ambaye hivi karibuni alionekana kuwa karibu na Vanessa amesema Vanessa
ni mtu wake wa karibu anayefanya kazi naye. “No ni mshikhaji wangu tu,
tunafanya naye kazi, kuna tabia zinaendana, kama ninavyokuwa na rafiki na
Stamina, Mo Music ni kawaida, sema unajua ni mwanamke na ni njia toafuti
ndio maana imekuwa hivyo,” alisema Jux.
ni mtu wake wa karibu anayefanya kazi naye. “No ni mshikhaji wangu tu,
tunafanya naye kazi, kuna tabia zinaendana, kama ninavyokuwa na rafiki na
Stamina, Mo Music ni kawaida, sema unajua ni mwanamke na ni njia toafuti
ndio maana imekuwa hivyo,” alisema Jux.
Alipoulizwa kama Vanessa anafaa kuwa wife material Jux alijibu Vanessa ana
kila sifa ya kuwa mke.
kila sifa ya kuwa mke.
“Ni msichana mzuri, mwonekano wake mzuri, she is smart, yeah she is a wife material, yuko vizuri, lakini na mimi tumeendana sana tabia zetu kama washikaji. Sema nipo naye karibu na kwa sababu mimi sionekanagi na wasichana wengi ndio maana imekuwa hivyo. Lakini sijui labda baadaye kwa sasa hivi ni mapema, vyote anapanga Mungu,” alisisitiza Jux.
JUX AWEKA WAZI MAHUSIANO YAKE NA VANESSA MDEE, AMWAGIA SIFA KIBAO
Reviewed by habari motto
on
10:30 AM
Rating: