ASKARI WA USALAMA BARABARANI AGONGWA

Askari wa usalama barabarani, aliyejulikana kwa jina la Riziki, WP 2806 Cpl Riziki, akiwa hoi baada ya kugongwa na daladala aina ya DCM wakati akiwa katika harakati za kutimiza majukumu ya kazi eneo la Mbagala Rangi Tatu, jana asubuhi.

Habari zinasema kuwa baada ya ajali hiyo, askari huyo alikimbizwa katika hospitali ya Temeke na baadaye kuhamishiwa hospitali ya Muhimbili na hali yake inaendelea vizur
ASKARI WA USALAMA BARABARANI AGONGWA ASKARI WA USALAMA BARABARANI AGONGWA Reviewed by habari motto on 6:10 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.