Baada ya kutedwa sana.. Staa huyu kaamua kuwa Single


MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa ametendwa vya kutosha na marafiki hivyo kwa sasa hahitaji tena kuwa na rafiki.Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunty Lulu’
Akipiga stori na mwandishi wetu, Aunty Lulu alisema kwa nyakati tofauti marafiki wamemponza akaachika kwenye uhusiano wa wapenzi wake, kumgombanisha na watu anaofanya nao kazi na mambo mengi yanayofanana na hayo hivyo kwa sasa hahitaji marafiki.
‘Aunty Lulu’ akipozi.

“Nimetendwa sana na marafiki, bora niachane nao niishi kivyanguvyangu, nijitafutie maisha yangu mwenyewe. Sihitaji kabisa marafiki kwa sasa,” alisema Aunty Lulu.
Baada ya kutedwa sana.. Staa huyu kaamua kuwa Single Baada ya kutedwa sana.. Staa huyu kaamua kuwa Single Reviewed by habari motto on 3:13 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.