Mwanamke mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa Mjini Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba amebakwa na kisha kutelekezwa na dereva wa gari lilikokuwa limempa msaada wa lifti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Shekhan Mohammed Shekhan amesema tayari jeshi hilo linamshikilia Mohammed Kaithar Ali (45) Mkaazi wa Wete ambaye anatuhumiwa kuhusika na kitendo hicho. Imedaiwa kuwa Mohammed ametenda unyama huo jana majira ya saa kumi jioni katika eneo la Weni Wete.
Shekhan amesema mtuhumiwa ametekeleza kitendo hicho baada ya kuombwa lifti na alipofika maeneo ya Weni kijana huyo alifunga vioo vya gari lake na kisha kumziba mdomo ili sauti isitoke.
Kamanda Shekhan amesema msichana huyo amepata maumivu sehemu zake za siri pamoja na kupata michubuko shingoni, ambayo imetokana na harakati za kutaka kujinasua ili asifanyiwe kitendo hicho.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba Shekhan Mohammed Shekhan amesema tayari jeshi hilo linamshikilia Mohammed Kaithar Ali (45) Mkaazi wa Wete ambaye anatuhumiwa kuhusika na kitendo hicho. Imedaiwa kuwa Mohammed ametenda unyama huo jana majira ya saa kumi jioni katika eneo la Weni Wete.
Shekhan amesema mtuhumiwa ametekeleza kitendo hicho baada ya kuombwa lifti na alipofika maeneo ya Weni kijana huyo alifunga vioo vya gari lake na kisha kumziba mdomo ili sauti isitoke.
Kamanda Shekhan amesema msichana huyo amepata maumivu sehemu zake za siri pamoja na kupata michubuko shingoni, ambayo imetokana na harakati za kutaka kujinasua ili asifanyiwe kitendo hicho.
MESOTHELIOMA LAW FIRM
CHEKI HAPA: BINTI ABAKWA NDANI YA GARI
Reviewed by habari motto
on
8:07 PM
Rating: