Picha ya gari likiwa limeivaa nyumba na kusababisha vifo.
Ajali nyingine yatokea Mtwara na kuua wanajeshi watatu na raia mmoja baada ya gari kujaribu kukwepa lori la mabomba ya gesi na kuivaa nyumba iliyokuwa pembezoni.
GARI LA JWTZ LAPARAMIA NYUMBA NA KUUWA
Reviewed by habari motto
on
6:18 PM
Rating: