Obama aelekea ulaya kushauriana na washirika wa NATO

Rais Obama akipunga mkono tayari kuelekea safari yake ya ulaya kukutana na washirika wa NATO


Rais wa Marekani Barack Obama ameondoka Washington kwa ziara ya ziku nne huko ulaya iliyolenga kuwahakikishia washirika wa NATO uungaji mkono wa Marekani, huku mivutano ya kieneo juu ya jukumu la Russia huko Ukraine ikiendelea kuongezeka.MESOTHELIOMA LAW FIRM 
Bwana Obama atafanya mazungumzo ya siku nzima hapo jumatano katika mji mkuu wa Estonia na marais wa Estonia, Latvia na Lithuania.
Mikutano huko Tallinn, kilomita 200 kutoka mpaka wa Russia inafanyika ikiwa ni majibu kwa ongezeko  la wasiwasi kuhusu kuhusika kwa jeshi la Russia huko Ukraine na uwezekano wa  vitisho vya  Russia kwa mataifa ya Baltic. Rais ameelezea mazungumzo ya Baltic yanamaanisha kuonesha mataifa hayo Jamhuri tatu za zamani za Kisovieti  kwamba tunamaanisha kile tunachosema kwa kuheshimu majukumu yetu katika mkataba.
CHANZO VOA
MESOTHELIOMA LAW FIRM 
DONATE CAR TO CHARITY CALIFORNIA 
DONATE CAR FOR TAX CREDIT 
Obama aelekea ulaya kushauriana na washirika wa NATO Obama aelekea ulaya kushauriana na washirika wa NATO Reviewed by habari motto on 8:58 AM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.