Ajali Mbaya Yatokea Arusha Leo


Ajali mbaya imetokea mchana huu barabara ya Moshi-Arusha eneo la Sekei kituo cha polisi,  iliyohusisha magari mawili madogo, Rav 4 lenye namaba za Usajili T 334 AGK na Suzuki Escudo lenye Namba Za Usajili T 991 ASX


Mashuhuda wa Ajali hiyo wameongea na mwandishi wetu na kusema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa Rav 4 alitoka upande wake kutaka kulipita gari mbele yake, ndipo garihilo lilipomshinda na kukwaruza Gari lingine Aina ya Escudo

Watu 3 waliokuwa kwenye RAV 4 wamejeruhiwa vibaya na wote walikimbia na kulitelekeza gari Hilo Kwenye Eneo La tukio


Majeruhi Wote ni waosha magari katika Car wash iliyopo Eneo Jirani na Ajali ilipotokea

Devera Wa gari lililokwaruzwa yuko katika hali nzuri


Ajali Mbaya Yatokea Arusha Leo Ajali Mbaya Yatokea Arusha Leo Reviewed by habari motto on 3:51 PM Rating: 5
ads 728x90 B
Powered by Blogger.