
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.


Hii ni picha ya July 2013 ambayo ni mara ya mwisho Geez Mabovu ameonekana kwenyebekamtanzania.com akiwa na Baba yake Dully Sykes maeneo ya Kinondoni Dar es salaam nje ya Bar ya msanii Dudubaya aliyokua ameifungua wakati huo.
Kwa mujibu wa Denis, Geez atazikwa kesho jioni November 13 2014. #RIP
Msanii Geez Mabovu Afariki Dunia
Reviewed by habari motto
on
2:36 AM
Rating: