Watu kadhaa wamenusurika kifo baada ya Kupata ajali Mbaya iliyohusisha Gari aina ya Toyota Haice yenye namba za Usajili T 429 CGS iliyokuwa ikiendeshwa na Mohamed Mendrad Ngombo inayofanya Safari zake kati ya Nyangao - Lindi Mali ya ndugu Mwenda Abdalah Mwenda Kugonga Tela la Trekta lenye Namba za Usajili T 816 CJW Maeneo ya Kiwalala Lindi Vijijini.
Ajali Mbaya Yatokea, Kadhaa Wanusurika Kifo Lindi
Reviewed by habari motto
on
7:46 AM
Rating: